Jobs in Tanzania

Matokeo ya Usaili wa Kuandika TRA 2025 Tazama Hapa

MATOKEO YA USAILI TRA 2025 kwa nafasi mbalimbali yamewekwa hadharani leo muda huu tarehe Aprili 2025 na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Hii ni baada ya kusubiriwa kwa hamu kufuatia tangazo la awali la tarehe 25 Aprili ambalo liliahidi matokeo kutolewa leo. Matokeo ya usaili TRA pdf

Nafasi za Kazi Ajira Portal

Matokeo haya yanajumuisha majina ya waliofaulu usaili wa kuandika TRA, ulioendeshwa na NBAA – Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu kwa niaba ya TRA.

Jinsi ya Kuangalia Matokeo ya Usaili wa Kuandika TRA 2025 (PDF)

  1. Tembelea tovuti rasmi ya TRA: www.tra.go.tz
  2. Nenda kwenye kipengele cha Public Notice
  3. Tafuta kichwa:
    “MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA TRA 2025 (PDF)”
  4. Pakua faili, fungua, na tumia Ctrl + F kutafuta jina lako.
  5. Au tembelea haraka kupitia: Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili ufuatao TRA 2025

Matokeo ya Usaili TRA PDF: Je, Jina Lako Limo?

Ikiwa wewe ni miongoni mwa watu 78,544 waliofanya usaili wa kuandika TRA, sasa ni wakati wako wa kujua hatima yako! Matokeo yako yamo kwenye PDF hii rasmi ya TRA – hakikisha unatazama jina lako leo.

Maswali Yaulizwayo Sana:

  • Matokeo ya usaili TRA ni yapi?
  • Walioitwa kwenye usaili wa mahojiano TRA ni akina nani?
  • Nini kinafuata baada ya kuona matokeo?

WALIOITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO NA VITENDO TRA – Ratiba Kamili

Hatua ya AjiraTareheMaelezo
Usaili wa Vitendo (Waandishi, Madereva)2 – 4 Mei 2025Kwa waliopitishwa
Usaili wa Mahojiano TRA7 – 9 Mei 2025Hatua ya mwisho kwa waliofaulu
Matokeo ya Mahojiano18 Mei 2025Majina ya waliochaguliwa kuajiriwa
Mafunzo Elekezi22 Mei – 2 Juni 2025Kwa waajiriwa wapya wa TRA

Takwimu Muhimu za Ajira TRA 2025

  • Jumla ya Maombi: 135,027
  • Walioitwa Kuandika: 113,023
  • Waliofanya Usaili wa Kuandika TRA: 78,544
  • Usimamizi wa Usaili: NBAA, si TRA moja kwa moja

Majibu yote yapo hapa chini.

PAKUA PDF KAMILI YA MATOKEO YA USAILI HAPA

TRA imeeleza wazi kuwa mchakato huu ni wa haki, uwazi, na usawa kwa kila Mtanzania mwenye sifa. Hakuna upendeleo wala rushwa.

SOMA ZAIDI:-

Leave a Comment